Adverts

Jan 15, 2011

Kikao cha Maspika na Wenyeviti wa mabunge ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Madola chamalizika leo

Kikao cha Maspika na Wenyeviti wa mabunge ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Madola chamalizika leo: "
Kamati Tendaji ya Maspika na Wenyeviti wa mabunge ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Madola wakiwa katika siku ya mwisho ya kikao chao leo kilichofanyika katika Kisiwa cha Isle of Man. Kutoka kushoto ni Spika wa Bunge la Australia Mhe. Harry Jenkins, Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Maminda na Spika wa Bunge la House of Commons la Uingereza Mhe. John Bercow. Wengine ni Spika wa Bunge la Pakistan Dkt. Fehmida Mirza, Spika wa Bunge Isle of Man Mhe. Steve Rodan na Rais wa Bunge la Ise of Man Mhe. Noel Cringle. Katika kikao hicho walikubaliana agenda za mkutano mkuu kuwa pamoja na mambo mengine ni kujadili jinsi ya kukabilina na changamoto za kuongoza mabunge yenye itikadi tofauti.
Picha ya pamoja ya kamati tendaji wakati wa kuagana
Wajumbe wa kamati ya utendaji walipotembelea maeneo ya kihistoria ya Isle of Man.Picha na Prosper Minja - Bunge
" new post