Adverts

Jan 15, 2011

Simba SC yapigwa 2-1 na ZESCO ya Zambia leo

Simba SC yapigwa 2-1 na ZESCO ya Zambia leo: "
Wachezaji wa Zesco ya Zambia wakifurhia moja ya mabao 2 waliyowafunga mabingwa wa kombe la Mapinduzi SC katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa katika uwanja wa Uhuru jijini Dar leo
Timu zikisalimiana kabla ya mchezo
Waamuzi wa mchezo wakipozi na manahodha wa timu zote mbili
Hekaheka kwenye lango la ZescoMshambuliaji wa Simba SC Mussa Hassab 'Mgosi' akipambana na mchezaji wa Zesco
Kikosi cha Simba SC leo
Kikosi cha Zesco leo
" new post