Adverts

Feb 9, 2011

Chadema wasusa bunge leo

Chadema wasusa bunge leo: "
Waheshimiwa wabunge wa CHADEMA wakiondoka ukumbi wa Bunge kususia upigwaji wa kura wa kukubali ama kukataa kuwepo kwa kambi ndogo ya upinzani, na wao kukubali kujumuisha wabunge wa vyama vingine kwenye serikali kivuli ya kambi ya upinzani
"