Adverts

Feb 7, 2011

Kikao cha 'briefing' kwa wah. wabunge leo dodoma

Spika Anne Makinda akitoa mutasari wa mkutano wa pili wa Bunge la Kumi akisikilizwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa kikao cha muhtasari (briefing) wa ratiba ya Mkutano wa Pili wa Bunge la Kumi Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda Mb (wa pili kutoka kushoto) katika kikao hicho leo mjini Dodoma. Kulia kwake ni Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Balozi Seif Idd. Kushoto kwake ni Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda (Mb )na Katibu wa Bunge Dkt Thomas Kashililah. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa kikao cha muhtasari (briefing) wa ratiba ya Mkutano wa Pili wa Bunge la Kumi Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda Mb (wa pili kutoka kushoto) akifungua kikao hicho leo Katibu wa Bunge Dkt Thomas Kashililah akiongea na wanahabari mara baada ya kumalizika kikao cha briefing kwa wabunge mjini Dodoma leo. Prof. Jumanne Maghembe, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika akitoa tathmini ya chakula nchini ambapo amewahakikishia wabunge kuwa hali si mbaya. Alikuwa akiongea kwenye kikao cha briefing kwa wabunge mjini Dodoma leo.
3. Wabunge wakifuatilia mhutasari huo
Sehemu ya wabunge wakimsikiliza Mhe. Spika Anne Makinda
Wabunge wakitafakari kuhusu muhtasari
uliotolewa mara kabla ya wasaa wa kuuliza maswali
Picha zote na mdau Prosper Minja wa Bunge

"