Majeruhi akifikishwa hospitali ya Amana usiku huu baada ya kukumbana milipuko ya mabomu kambi ya jeshi Gongo la Mboto jijini Dar usiku huu. Bado haijulikani wangapi wameumia ama kupoteza maisha katika milipuko hiyo iliyotokea kwenye ghala ya silaha za jeshi huko Gongo la Mboto na kusikika kila sehemu ya jiji
Daktari hospitali ya Amana akimhudumia mmoja wa majeruhi wengi walioletwa hospitalini hapo
Mmoja wa majeruhi akipata huduma hospitali ya Amana
Deo rweyunga wa Radio One akiongea na
mmoja wa majeruhi hospitali ya Amana
Majeruhi wa milipuko ya mabomu
Watoto wakiwa na mama yao aliyejeruhiwa hospitali ya Amana
Huduma kwa majeruhi
Mdau baada ya kupata huduma ya kwanza hospitali ya Amana
majeruhi akifikishwa hospitali ya Taifa ya Muhimbili
Gari la wagonjwa likiwasili Muhimbili usiku huu likiwa na majeruhi wa mabomu hayo
majeruhi wakiwa Muhimbili
Majeruhi akiwasili Muhimbili
Daktari akiwa na mtoto ambaye kapotezana
na wazazi wake hospitali ya Amana
Meya wa Ilala Mh. Jerry Silaa, ankal, askari na Deo rwedyunga wakiwa eneo la tukio kwenye geti la kuingilia kambi hiyo ya Gongo la Mboto ambako raia walizuiwa kuingia
Wakaazi wa Gongo la Mboto na maeneo ya
jirani wakitafuta pa kwenda