Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Sumaye mjini Morogoro wakimsaidia mwanafunzi mwenzao baada ya kutelemshwa kutoka katika gari la wagonjwa eneo la Mapokezi Hospitali ya Mkoa wa Morogoro leo. Wanafunzi 16 walipatwa na kitu kilichosemekana ni mapepo kuanzia majira ya saa 3 Asubuhi na kulazimika uongozi wa Shule na Serikali ya Wilaya ya Morogoro kuchukua hatua ya kupeleka gari la wagonjwa shuli kupeleka wanafunzi hospitali ya Mkoa kuweza kupatia tiba na kufanyiwa uchunguzi wa kina.
Wanafunzi wakipatiwa huduma
"