Adverts

Feb 23, 2011

MASHUJAA WAIBOMOA DIAMOND MUSICA NA KUCHUKUA SITA.

Hawa wanenguaji watatu wapya wa bendi ya Mashujaa ni Miongoni mwa wanamuziki wapya sita ambao wamechukuliwa katika bendi ya Diambond Musica ikiwa ni pamoja na rapa mmoja na wanenguaji watano katika picha kulia ni Salma Shaban (Teketeke), Kelvin Kitiligi (Dume la Luba) na Mariam Ramadhan (Lelapee) wanamuziki hawa wapya wa bendi ya Mashujaa wametambulishwa leo kwa waandishi wa habari katika mkutano uliofanyika kwenye mgahawa wa Hadees jijini Dar es salaam.
Waimbaji na rapa wa bendi ya Mashujaa kutoka kulia ni Sauti ya Rady(Yanick Noa), Mirinda Nyeusi (Extra Power) na Amos Nabii (Soloo) wakipozi kwa picha.
"