Frederick Mwakalebela (kushoto) akitoka mahakamani leo baada ya kuachiwa huru na mahakama ya hakimu mkazi Iringa chini ya hakimu wake Mheshimiwa Festo Lwila katika kesi yake ya rushwa ya uchaguzi iliyokuwa ikimkabili
Mwanasheria wa Takukuru Ntume Mizizi (kulia) akizungumza na waandishi wa habari juu ya uamuzi wao wa kuendelea na kesi hiyo tena
Mwakalebela akiingia ndani ya gari kukwepa kuzungumza na waandishi wa habari
Ndugu wakimkimbiza Mwakalebela kuzungumza na waandishi wa habari
Mwakalebela akitolewa mahakamani hapo na ndugu huku wakimzuia kuzungumza chochote na waandishi wa habari
,Mwanasheria wa Takukuru Bw.Mizizi akizungumza na mtandao huu wa www.francisgodwin.blogspot.com juu ya maamuzi ya mahakama na kuwa japo wataendelea hadi kieleweke
"