Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo katika kaburi la kada wa Chama Cha Mapinduzi marehemu Mzee Juma Singano wakati wa mazishi yake yaliyofanyika katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam leo mchana. Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Katibu Mkuu wa CCM Yusuf Makamba wakishiki kumuombea kada wa CCM Marehemu Juma Singano wakati wa mazishi yake yaliyofanyika katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam leo mchana.(Picha na Freddy Maro).
"