Rais Kikwete Akutana Na Bwana Johnnie Carson,Naibu Waziri Wa Nchi Marekani Anayeshugulikia Masuala Ya Afrika: "
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Naibu Waziri wa Nchi wa
Marekani anyeshughulikia masuala ya Afrika Bwana Johnnie Carson,ikulu jijini Dar es Salaam leo mchana(Picha:Freddy Maro).
"