images/stories/news_flash/topc.jpgWASANII mbalimbali wa muziki wa bongo fleva wanatarajiwa kusindikiza uzinduzi wa albamu ya msanii mwenzao anayekwenda kwa jina la Top C inayojulikana kama ‘Lofa’.
Uzinduzi huo unatarajiwa kufanyika katika ukumbi wa kimataifa wa Club Bilicanas katika
"