Adverts

Feb 23, 2011

Ugonjwa mpya wa simu..UVOSI.

Ni UVOSI (UKOSEFU wa VOCHA SIMUNI). Ugonjwa mbaya sana na dalili zake ni: kubeep ovyo ovyo. Tafadhali nipigie. Kusambaziwa vocha na mizinga ya mfululizo ya nirushie vocha . Kuangalia salio kila wakati mpaka dole gumba linaota sugu. Kuzuia kitufe cha kukata simu hata kama wewe ndiyo unapigiwa. MAUMIVU YAKIZIDI JIMUVUZISHE KWA MITANDAO NAFUU TAFADHALI.
"