Adverts

Feb 23, 2011

WAFANYAKAZI WA UMOJA WA MATAIFA NCHINI WACHANGIA DAMU KWA AJILI YA WAHANGA WA MABOMU.

Muuguzi kutoka kitengo cha Damu salama cha Taifa akimhudumia Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa (UN) Bw Alberic Kacou wakati akictoa damu kwa ajili ya ksaidia wahanga wa milipuko ya mabomu iliyotokea hivi karibuni katika kambi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ya Gongo la Mboto, wafanyakazi wa shirika hilo leo wamechangia damu kwa ajili ya wahanga hao leo.
Mwakilishi Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini (UN) Bw. Alberic Kacou akiongea na wafanyakazi wa shirika hilo wakati alipokuwa akichangia damu kwa ajili ya wahanga wa milipuko ya Mabomu huko Gongo la Mboto iliyotokea hivi karibuni
Wafanyakazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa wa Mtaifa nchini (UN)wakichangia damu kwa ajili ya wahanga wa mabomu huko Gongo la Mboto.
Hoyce Temu Meneja wa Kitengo cha Mawasiliano Umoja wa Mataifa Nchini (UN)akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wenzake wakati walipokuwa wakichangia damu katika hospitali ya Muoja wa Mataifa Dar es salaam leo kwa ajili ya wahanga wa mabomu huko Gongo la Mboto.
"