Mtaalamu wa mabomu Kanali ID Mushi akionesha mchoro wa kambi ya jeshi ya Gongo la Mboto na hatua zunazochukuliwa kukabiliana na dhahama iliyotokea
Spika wa Bunge Mhe Anne Makinda Mb (wa pili kulia), Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Bunge Mhe William Lukuvi, Profesa Kaigi Mb, na Mhe. Martha Kabati Mb (wa kwanza kushoto) wakipata maelezo ya ajali ya mlipuko wa mabomu katika kambi ya jeshi la wananchi ya Gongo la Mboto.
Mhe Spika akitanganza kukabidhi kwake msaada wa Sh. 37.8 miliioni kwa ajili ya wahanga wa mabomu. Msaada huo michango wa wabunge pamoja na wafanyakazi wote wa ofisi ya Bunge
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,uratibu na Bunge)
Mhe. Makinda na Mhe Lukuvi wakiwasili hospitali ta Taifa
Muhimbili leo ambako wamepokelewa na madaktari waandamiziSpika Anne Makinda akitoa pole kwa majeruhi alielazwa Muhimbili
Spika Makinda akimfariji mtoto aliyelazwa hospitali
ya Amana akiwa na majeruhi ya mabomu ya Gongo la Mboto