Adverts

Mar 12, 2011

MAFUNZO YA WAELIMISHA RIKA KATIKA MASUALA YA UKIMWI MASHULENI


Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya Elimu rika kutoka shule za kata, kwa ujumla taarifa kutoka kwa watoto hawa wanayajua mengi na makubwa kuliko tunavyodhani!!!! wana maelezo ya kutisha juu ya uzoefu wao na ushiriki wao katika matendo hatarishi katika kusababisha maambukizi ya UKIMWI na magonjwa ya ngono










washiriki  wakiwa wanapata chai katika mafunzo haya










Ninakumbuka kuwa mmoja alieleza namna wanavyotoa mimba katika shule yao: Kwamba kinywaji cha double punch hutumika kuharibu mimba kwa kunywa paketi mbili kwa mtu mwenye uja uzito!!!, Mwingine kuna mwanafuzi ametoa mimba vipande vikabaki mwilini, baada ya mwezi mmoja hali ikawa mbaya kizazi kikaoza na ameondolewa kizazi baada ya kushindikana.