Christian akionja mazingira ya nje ya hospitali na kuvuta hewa ya nje kwa mara ya kwanza katika hospitali ya Misheni ya Mbozi |
Mama yake Christian akiingia kwenye gari kuelekea nyumbani baada ya kuruhusiwa hospitali ya Mbozi misheni. Hii ilikuwa Dec 29,2009 aliyembeba mtoto ni Muuguzi ndugu yangu wa karibu Faraja aka Mama Leila alipotoa ushirikiano wa kiwango cha juu katika hatua hii