Adverts

Mar 12, 2011

IJUE TAASISI YA MBOZI SOCIETY FOR HIV/AIDS CAMPAIGN

Taasisi hii inafanya kazi zake wilayani Mbozi na sasa ipo ukingoni katika kutekeleza mradi wa Ufuatiliaji wa raslimali zinazoelekezwa mashuleni na kuziimarisha kamati za shule ili ziweze kusimamia raslimali hizo.Inatafuta wadau wanaofanya kazi katika eneo la Utawala bora, UKIMWI na masuala ya Jinsia.