![]() |
| Watuhumiwa wa mauaji ya John Mwankenja wakiwa mahakamani |
![]() |
| SMG iliyotumika kufanya mauaji ya Mwankenja baada ya kuopolewa kutoka mafichoni ilikohifadhiwa |
![]() |
| Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya Advocate Nyombi akizungumza na wanahabari baada ya kufanikiwa kukamata mashine iliyotumika kwenye mauaji |
![]() |
| Watuhumiwa wakiwa kwenye lidefenda la polisi kwenda sero baada ya kusomewa mashitaka |




