Adverts

Aug 8, 2011

HALMASHAURI YA MJI WA NJOMBE SASA YADHAMIRIA MIUNDOMBINU

Baadhi ya barabara za mji wa NJOMBE zikionekana kuwa na utulivu kwa wapitanjia wake kutokana na mpangilio mzuri uliofanywa wakati huu wa kufanya maboresho ya mji huo ambao umepanda hadhi na kuwa halmashauri ya mji.