Adverts

Aug 28, 2011

KARIBU KYAI MUKIKOMBE KYA KYUMA!!!!

Kwa wale waliozaliwa miaka ya uhuru watakubaliana na mi kuwa vyombo hivi vilikuwa vya heshima sebuleni, kwenye kabati lenye fomeka, halafu unakunywa chai kwa adabu manake kikombe cha moto, chai ya moto, huku unyakyusani wakawa wanaita unakunywa kyai mukikombe kya kyuma kangi kya  moto!!!!!!