Adverts

Nov 25, 2011

MAHAFALI YA 25 CHUO CHA MIPANGO DODOMA

Mgeni Rasmi pamoja na wahadhiri wa chuo cha Mipango Dodoma wakielekea kwenye Ukumbi wa Nyerere kushiriki katika kutunuku vyeti wahitimu 

Uongozi wa Bodi ya Chuo pamoja na Mgeni rasmi Naibu waziri wa elimu Gregory Teu wakifuatilia wimbo wa taifa

Baadhi ya wahadhiri wa Chuo cha Mipango Dodoma pamoja na wageni waliohudhulia mahafali hayo

Bango lao linajieleza!!

Profesa Katega akizungumza kwenye mahafali hayo

Maandamano ya kuelekea ukumbini


Nakutunuku statashahada ya uzamili ya Mipango ya Mikoa ! ndivyo anavyotamka Naibu waziri wa Fedha Mh Gregory Teu wakati akimtunuku mmoja wa wahitimu


Baadhi ya wahadhiri wa Chuo cha Mipango Dodoma


Mtawa huyu ni miongoni mwa wahitimu wa kozi ya Astashahada ya Mipango ya maendeleo vijijini

Mkuu wa Chuo cha Mipango Constantine Lifurilo akizungumza kwenye mahafali hayo

Bendi ya asili kutoka kijiji cha Hombolo walionyesha uwezo wao katika kuruka migoma ya asili! over makhiri khiri

Hawa ndiyo wahitimu 1200 na upuuzi hivi wakishereheka baada ya kipindi kigumu cha kuumiza vichwa na hatimaye kumaliza wengi wao wakiwa wanachechemea kutokana na staili ya chuo sasa kufanana na SUA kwa gwaride lake!!!


Alama maalumu za kutambulisha chuo cha Mipango Dodoma ambapo Kitabu hicho ni mwongozo wa mafunzo ya mipango ya maendeleo Vijijini  na Mipango ya Mikoa ambazo ndizo kozi mama za chuo hicho

Profesa Zilihona Inoncent kulia, akifuatilia kwa makini yanayoendelea ukumbini



Wahitimu leo Jioni