Indaba blog is rural based online news for rural and urban community!!
Adverts
Dec 7, 2011
Rais aanza kutumikia kifungo gerezani
Rais wa zamani wa Israel Moshe Katsav (66) ameanza kutumikia kifungo cha miaka saba jela kwa kosa la kubaka. Katsav alifikishwa kwenye gereza la Maasiyahu jana kuanza kutumikia adhabu yake hiyo. Kwa habari zaidi,BONYEZA HAPA.