|
| Dkt Slaa akikaribishwa na mbunge wa mbeya mjini Mh Joseph Mbilinyi mara baada ya kuingia maeneo ya uyole jijini Mbeya |
| Mbunge wa Jimbo la Mbozi Magharibi Mh David Silinde akisalimiana na dkt Slaa mara baada ya kuwasili jijini mbeya jioni hii |
| Baadhi ya wabunge na wanachama wa chadema akimsikiliza Dkt Slaa mara baada ya kuwasili mbeya |