Adverts

Jan 21, 2012

RAIS KIKWETE ANA KWA ANA NA DKT SLAA WAKATI CHADEMA WALIPOTINGA TENA IKULU USIKU HUU

Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),Dkt. Wilbrod Slaa usiku huu Ikulu jijini Dar es salaam wakati Uongozi wa chama hicho ulipofika kukutana na Rais kwa muendelezo wa mazungumzo ya mchakato wa Katiba mpya.
Rais Jakaya Kikwete akiukaribisha Uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) usiku huu Ikulu jijini Dar es salaam.
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),Dkt. Wilbrod Slaa (kushoto) akifafanua jambo kwa Rais Jakaya Kikwete kuhusu mchakato wa Katiba Mpya ikulu Jijini Dar es Salaam leo.Katikati ni Mwenyekiti wa Chama hicho,Mh. Freeman Mbowe.