Adverts

Aug 2, 2012

BARAZA LA MADIWANI MBOZI KUKETI IJUMAAM

Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya  wilaya ya Mbozi Levison Chilewa akizungumza wiki iliyopita baada ya baraza hilo kuahirishwa

Waheshimiwa madiwani wakiwa ukumbini kabla ya baraza la wiki iliyopita kuahirishwa

Katibu Tawala Mkoa wa Mbeya Bi Mtunguja akisikiliza maelezo ya Mkuu wa mkoa, anayemfuatia ni Mbunge wa Mbozi mashariki Mh Zambi

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Kandoro akiwanyoshea vidole madiwani katika moja ya maeneo aliyoyasisitiza kuhusiana na kujibu hoja za mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali