Adverts

Jan 25, 2013

NI MUHIMU HUDUMA KWA WATOTO YATIMA

Miongoni mwa watoto walio katika mazingira nagumu katika kijiji cha Ilolo wilayani Mbozi wakipokea sehemu ya misaada ya sare za shule kupitia mpango wa RFA ambao ulisitishwa mwaka 2008, huduma hizi ni muhimu kwa kundi la watoto walio katika mazingira magumu katika kutimiza ndoto zao