Adverts

Feb 2, 2013

NWASUMA WAWANGWASUMISHA MBOZI

MPINI UMESHIKIRIWA SAWA SAWA!!

Mwenyekiti wa halmashauri ya Mbozi ERICK MINGA akianzisha kungwasumika, kwa ushirikiano tanzu na Nyoshi El Sadat kiongozi wa kundi la FM academier wazeee wa Ngwasuma ndani ya Ukumbi wa Uwanji Hill Motel
 Mapapaa wakigombania CD za album mpya ya wazee wa Ngwasuma zilizouzwa kwa dau kati ya 30,000 hadi 100,000 za papo kwa papo
 Wadau mbalimbali wakiendelea kufuatilia shughuli hiyo ambapo kunywa , kula na kucheza ilikuwa bureee kabisa
Papaa Rwehumbiza akingwasumika 

Kundi likiwasha moto  ndani ya uwanji  hill Motel....

Picha zaidi zinakujia, uploading..................