Adverts

May 29, 2013

MBOZI SHWARII

 Naibu waziri wa Elimu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Mbozi Godfrey Zambi siku alipofika wilayani Mbozi, wilaya ya Mbozi imo kwenye mchakato wa kupata mkoa wake
 Mkuu wa wilaya ya Mbozi Dr Kadeghe akimtambulisha naibu waziri kwa kaimu Mkurugenzi Mbozi Dr Charles Mkombachepa
 Walimu wakimsikiliza naibu waziri

walimu wakifuatilia majadiliano