Adverts

Jan 21, 2011

KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM

KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM: "
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, Rais Jakaya Kikwete,akiendesha kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho kilichofanyika jana,Ikulu Dar es Salaam. (PICHA NA RAMADHAN OTHMAN-IKULU ZANZIBAR)
Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete akimkabidhi zawadi ya picha Rais na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Jhpiego, Dk. Leslie Mancuso baada ya kufanya mazungumzo na mgeni huyo katika ofisi ya Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,WAMA, Dar es Salaam jana. (PICHA NA JOHN LUKUWI)
Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar ,Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk Amani Abeid Karume,na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ,Pia Mjumbe wa NEC,Dk Ali Mohamed Shein,wakifurahia jambo ,katika Ukumbi wa Mkutano wa kikao cha Kamati Kuu ya Chama hicho,huko IKulu Jijini Dar es Salaam jana.
"