Adverts

Feb 27, 2011

SIMBA YAILAMBISHA MTIBWA VIJIKO VINNE VYA SUKARI

Mbwana Samata akishangilia bao la kwanza alililoifungia timu yake pamoja na wachezaji wenzake. Kulia ni Nico Nyagawa na aliyembeba ni Amri Kihemba.
Mshambuliaji wa Simba, Mbwana Aamata akiipangua ngome ya Mtibwa Sugar.
Mshambuliaji wa Simba, Shija Mkina akimiliki mpira mbele ya golikipa wa Mtibwa Sugar huku akiwa na kipa Omary Ally wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam jioni hii. Simba ilishinda 4-1 Picha na Francis Dande wa Globu ya Jamii.
"