Adverts

Sep 16, 2011

MZEE WETU FUNGO ALMAARUFU LUMAGE FASHION APUMZISHWA KWENYE MAKAZI YA MILELE

Baadhi ya waombolezaji wakiwa wakiwasili pamoja na mwili wa marehemu katika eneo la maziko ambapo Mwili wake ulilazwa katika makaburi ya Saba saba jijini Mbeya. Mazishi yamefanyika Jumamosi

Hapa ndipo ibada ya mwisho ya mzee Lumage Fashion ilipofanyika katika kanisa la House of Player lilipo eneo la Uwanja wa Ndege Mbeya

Mwili wa marehemu Aazalia Matumba Fungo ukiingizwa kaburini

Umati uliohudhulia kumsindikiza mzee fungo

Binti wa marehemu Amina Fungo akiwa na Mmewe wakiweka shada la maua kwenye kaburi

Mkurugenzi wa Blog ya Mbeya yetu Joseph Mwaisango na Mkewe wakiweka shada la maua kwenye kaburi la Mkwe wake mzee Fungo

Raha ya MILELE umpe ee bwana

Salaam zikisomwa kwenye kaburi la marehemu katika eneo la Saba saba jijini Mbeya