Adverts

Sep 18, 2011

NAIBU WAZIRI CHARLES KITWANGA NA TTCL WAPANGA MIKAKATI YA KUIMARISHA SHIRIKA HILO

Naibu waziri wa Mawasiliano Mh. Charles Kitwanga akizungumza na wakuu wa vitengo Kampuni ya simu ya TTCL pamoja na wajumbe wa bodi ya kampuni hiyo baada ya kumalizika kwa kikao cha kujadili Changamoto mbalimbali zinazokabili shirika hilo, ikiwa ni pamoja na kuweka mikakati mbalimbali ya kukuza na kuendeleza shirika hilo.
Waziri wa Mawasiliano Charles Kitwanga akiwa katika picha ya pamoja Mkurugenzi Mkuu wa TTCL, Said Amir Said, pamoja na mwenyekiti wa bodi ya kampuni hiyo Dr. Enos Bukuku mara baada ya kumaliza kikao chao leo.
Wakuu wa vitengo mbalimbali kutoka kampuni ya TTCL wakmionekana kufuatilia jambo katika mkutano huo.
Mh Waziri wa Mawasiliano Mh Charles Kitwanga akiwa katika akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa bodi ya TTCL pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya TTCL.