
Naibu waziri wa Mawasiliano Mh. Charles Kitwanga akizungumza na wakuu wa vitengo Kampuni ya simu ya TTCL pamoja na wajumbe wa bodi ya kampuni hiyo baada ya kumalizika kwa kikao cha kujadili Changamoto mbalimbali zinazokabili shirika hilo, ikiwa ni pamoja na kuweka mikakati mbalimbali ya kukuza na kuendeleza shirika hilo.