Adverts

Nov 27, 2011

TAMASHA LA MTIKISIKO LATIKISA IRINGA

Wadau wa mtandao huu wakiwa katika tamasha la Mtikisiko Wanahabari wakishuhudia tamasha la Mtikisiko Msanii Mwasity akiwajibika kupanda jukwaani Shabiki wa DJ Muba akimkumbatia kwa furaha baada ya kushusha magoma jukwaanihawa ni askari polisi wakimpa kichapo shabiki aliyecheza bila stepu Umati wa wananchi waliofika katika mtikisiko Iringa ndani ya uwanja wa samora ,tamasha hili hadi sasa majira ya saa 9 usiku bado mambo ndio bado Msanii Tudy Thoams akiwa na msanii na mtangazaji wa radio Ebony Fm Agnes Anderson Msanii Fid Q akiwajibika jukwaani Mwanahabari Happy Matanzi akiwa na mme wake ndani ya uwanja wa samora katika Mtikisiko kutoka francisgodwin blog