DAWA AINA YA SEPRIN (DIOTRIM 480 zinazozalishwa na kampuni ya KEKO BATCH 661011 zilizotengenezwa 2011 ZIMEONEKANA KUWA NA KASORO BAADA YA VITUO VINGI VYA AFYA NA ZAHANATI WILAYANI MBOZI KURIPOTI VIDONGE KATIKA MAKOPO KUWA NA RANGI NYEUSI KAMA VINAVYOONEKANA UPANDE WA KULIA WA KOPO HAPO JUU
TABIBU KATIKA ZAHANATI YA NAMBINZO AKIONYESHA MOJA YA MAKOPO YALIYOGUNDULIKA KUWA NA KASORO BAADA YA MGAO WA DAWA HIZO, HUKU MKAGUZI MFAMASIA AKICHUNGUZA DAWA ZINGINE KITUONI HAPO
HILO NDILO KOPO LA KAMPUNI YA KEKO LENYE KASORO AMBAPO MATATIZO KAMA HAYO YALIBAINISHWA KWENYE ZAHANATI ZINGINE ZIKIWEMO IKONYA, HAMWELO AMBAPO MAKOPO ZAIDI YA KUMI YALIKUWA NA KASORO ZA AINA HIYO
Jan 26, 2013
Jan 25, 2013
NI MUHIMU HUDUMA KWA WATOTO YATIMA
Uganda to recruit 10, 000 teachers
By Petrina Kyobutungi, Paul Kiwuuwa & John Agaba,
Government is in preparations to recruit 10,000 primary school teachers to tackle the problem of low staff in primary school.
Assistant commissioner for primary education Tony Mukasa-Lusambu. PHOTO/Esther Namirimu
Assistant commissioner for primary education Tony Mukasa-Lusambu said that starting this February they would embark on a massive recruitment of teachers in all districts to satisfy the current demand.
“There are many teachers who have died, others who have retired, and others who have left the teaching service,’’ said Mukasa-Lusambu.
“Also, the education ministry keeps on taking on more and more community-based schools but most of them don’t have enough teachers. So we need to address these challenges.”
Mukasa-Lusambu reveled this during the district education officers and other education stakeholders’ workshop at Speke Resort Munyonyo.
The workshop was organized by World Vision-Uganda to brainstorm on how best they can improve the quality of education in the lower education levels.
He said that every Primary Seven school must have a minimum of seven teachers, the head teacher inclusive, with the official pupil-teacher ratio being 53 pupils to one teacher.
But the situation on the ground is far from what is required.
Currently, some teachers single-handedly handle classes of more than 80 pupils, something that is crippling the education standards in schools.
The recently released Primary Leaving Exams (PLE) results show that urban schools performed better than rural schools. Some of the reasons education experts pointed out for this disparity in performance are lack of enough teachers and absenteeism both for teachers and pupils.
Mukasa-Lusambu urged the district education officers to ensure that the pupil-teacher ratio is adhered to. And that if a school does not stick to this, the head teacher complies a report and sends it to the education ministry.
Raia wa Magharibi watakiwa kuondoka Benghazi
Nchi za Magharibi zimewataka raia wao kuondoka haraka katika mji wa Benghazi mashariki mwa Libya, kufuatia kile nchi hizo zilichokiita ''kitisho maalum ambacho kinaweza kutekelezwa haraka''.
Uingereza ndio iliyokuwa nchi ya kwanza kuwataka raia wake waondoke mara moja mjini Benghazi, na baadaye ikafuatiwa na Ujerumani. Nchi hizo zilikuwa zimewashauri rai wao kuacha kufanya safari katika sehemu nyingi za Libya, baada ya mashambulizi ya mwezi Septemba kwenye ubalozi mdogo wa Marekani mjini Benghazi, ambayo yalimuua balozi wa nchi hiyo Christopher Stevens na maafisa wengine watatu wa ubalozi huo.
Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Ujerumani, Guido Westerwelle, alisema kitisho mjini Benghazi dhidi ya raia wa nchi za magharibi ni cha dhahiri.
Mzozo wa Mali wahusishwa
Alipoulizwa kama kitisho hicho kina uhusiano wowote na operesheni za kijeshi za Ufaransa nchini Mali, waziri wa nchi wa Uingereza anayehusika na masuala ya nchi za nje David Lidington, alisema kitisho hicho kilikuwepo hata kabla.
''Kitisho cha ugaidi katika mji wa Benghazi na katika maeneo mengine katika ukanda ule kilikuwepo kabla ya mzozo wa Mali na kabla ya mgogoro wa wiki iliyopita nchini Algeria. Huwa tunatoa tahadhari na ushauri wa kuondoka kama tulivyofanya sasa kuhusu Benghazi, ikiwa tu tunao ushahidi dhahiri na wa kuaminika kwamba kitisho kilichopo ni bayana.'' Alisema Lidington.
Hata hivyo, wizara ya mambo ya nchi za nje ya Uingereza imesema kuwa kuingilia kwa Ufaransa katika mzozo wa Mali kumeongeza uwezekano wa mashambulizi dhidi ya raia wa nchi za magharibi.
Marekani yajitenga
Nchi nyingine ambazo ziliwatahadharisha raia wao kuhusu kitisho cha usalama katika mji wa Benghazi ni Uholanzi na Australia, lakini Marekani imesema kuwa inaamini kuwa kitisho cha sasa katika mji huo kinawalenga raia wa nchi za Ulaya, sio wamarekani.
Shirika la ndege la Malta liliahirisha safari ya ndege yake mjini Benghazi, kwa kuzingatia onyo la wizara ya mabo ya nchi za nje ya Uingereza.
Hatua hiyo ya nchi za magharibi imeikasirisha Libya, ambayo imesema kuwa taarifa za kitisho cha usalama hazina msingi wowote. ''Wizara ya mambo ya ndani ya Libya inakanusha vikali taarifa za kuwepo kwa kitisho cha usalama wa raia wa kimagharibi na wakazi wa Benghazi, na inatoa hakikisho la usalama na utengamano katika mji huo'' limeripoti shirika la habari la Libya, LANA, likimnukuu afisa wa wizara hiyo.
Kuna raia wachache kutoka nchi za magharibi katika mji wa Benghazi, ambao umeshuhudia mashambulizi kadhaa dhidi ya wanadiplomasia wa kigeni, na pia dhidi ya vituo vya jeshi na polisi.
Hillary Clinton Wearing Special Glasses Following Concussion
Though Hillary Clinton's glasses may have helped her communicate a range of subtle emotions during her Congressional testimony on Wednesday, they also served another, arguably more important purpose: As the Daily News noticed earlier tonight, Clinton's spectacles appear to be outfitted with a Fresnel prism, which is used to treat double vision.
Clinton spokesman Philippe Reines has confirmed to Daily Intelligencer that Clinton will "be wearing these glasses instead of her contacts for a period of time because of lingering issues stemming from her concussion."
"With them on she sees just fine," Reines assured us. "In fact, she got a kick out of your seven expressions and captions when she saw them crystal clear."
Presumably, Clinton read the post while making the "Some People Have Too Much Time on Their Hands" Adjustment.
Read more posts by Dan Amira
Filed Under:
secretary of awesome
,hillary clinton
,politics
,love and war
,eyeglasses
SEKRETARIETI YA CHAMA CHA MAPINDUZI YAELEKEA KIGOMA KWA TRENI
Katibu Mkuu wa CCM, Kinana akipunga mkono baada ya kupanda treni kutoka Dar kwenda Kigoma wakati akiwa na msafara wa viongozi wenzake wakielekea mkoani Kigoma leo kwa ajili kuhudhuria sherehe za miaka 36 ya kuzaliwa CCM. 

Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Asha-Rose Migiro akipunga mkono baada ya kupanda treni kutoka Dar kwenda Kigoma leo.
Baadhi ya Wana CCM wakimuaga Kinana na msafara wake kutoka stesheni ya reli Dar es salaam kwenda Kigoma, leo.
Picha na Bashir Nkoromo
Picha na Bashir Nkoromo
KANISA KATOLIKI LAJITOA KWENYE UMOJA WA WAKRISTO NIGERIA


Right: official Catholic church letter withdrawing from CAN
The Catholic Church of Nigeria yesterday temporarily withdrew its membership from the Christian Association of Nigeria (CAN). Their reason? That CAN under Pastor Ayo Oritsejafor has been compromised. Also because of some uncouth statements by some Christian leaders, and the use of money in CAN elections and several court cases involving state chapters of CAN.
Spokesperson of the Church, Rev. Fr. Dr. Cornelius Omonokhua, said:
"You just can't save people who are drowning, if you are drowning with them. CAN is being dragged into partisan politics thereby compromising the ability to play its true role as conscience of the nation and the voice of the voiceless. We will be happy if CAN leadership can show moderation. Common sense dictates that they do that.”
The Catholic church said they would review their withdrawal from CAN after the annual meeting of the Conference of Bishops in February. See more after the cut...
Meanwhile CAN has reacted to CCN's withdrawal, calling it good riddance. A rep accused the Christian denomination of arrogance, saying they were merely angry because the presidency of the association had moved to another bloc of the group.
Spokesperson for the 19 Northern chapters of CAN, Sunny Oibe, told Punch:
“There are some certain elements in the leadership of CAN led by Cardinal John Onaiyekan because he lost CAN Presidency to Oritsejafor who has a lot of achievements. There is no need for anybody to lose sleep over the threat by Catholics to pull out of CAN because without them CAN will still continue. The constitution of CAN makes provision that membership can be terminated by any group that is misbehaving or any group can also terminate their membership.
“Why is it that when Catholics were in the leadership of CAN, every bloc supported them, but now because power has changed hands, they are threatening to pull out and causing confusion?
"They have been agitating that the Presidency of CAN must come from the South. They are appendage of PDP and PDP themselves. They are known for double standards. A man of God should not be double speaking.”
UNAMKUMBUKA BUJAGA IZENGO KADAGHO ENZI HIZO
MTANGAZAJI WA SIKU NYINGI BUJAGA IZENGO KADAGHO TUMEPOTEANA SIKU NYINGI NA HUYU BABA ASKOFU SIJUI YUPO DUNIA IPI? KWA MARA YA MWISHO ALIKUWA SUA TV NAKUMBUKA, KILA LAKHERI NI MIONGONI MWA SAUTI ZILIZOKUWA NA MVUTO ENZI ZA KUSOMA TAARIFA RADIO TANZANIA, REDIO ONE KOTE HUKO








