![]()  | 
| Mkewe bwana Mtaki akilia wakati alipokuwa akitembelewa na ndugu jamaa na marafiki kumpa pole kutokana na tukio hilo la uvamizi wa majambazi | 
![]()  | 
| Gari la Polisi likiwa nje ya nyumba ya bwana Mtaki ambaye ameweka makazi ya muda eneo la shambani kwake Chapwa | 
![]()  | 
| Mguu ambao umechanwa na kuharibiwa na baruti pamoja na goroli za risasi | 






